Quantcast
Channel: SPOTI Starehe™
Browsing all 699 articles
Browse latest View live

VIDEO:Man Utd yapigwa mbele ya Sir Alex Ferguson na West Bromwich 0-1 angalia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Yanga morali juu kwa Waethiopia

WAWAKILISHI pekee wa Tanzania waliobakia kwenye michuano ya kimataifa, Yanga, walitarajia kuondoka nchini leo alfajiri kuelekea Ethiopia kuwafuata wapinzani wao Welayta Dicha FC, wameahidi kupambana na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kocha Simba SC: Raha ya Ligi Kuu hii

HUKU timu yake ikiwa imebakiza mechi saba za Ligi Kuu Bara msimu huu na leo ikiialika Tanzania Prisons, Kocha Msaidizi wa Simba, Masoud Djuma, ametaja vitu vitatu ambavyo amekutana navyo kwa mara ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Julio 'Simba Ikimfunga Yanga Inachukua Ubingwa'

KOCHA Mkuu wa Dodoma FC, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’, amesema kama Simba itafanikiwa kushinda mechi zake mbili zijazo ikiwemo ya Yanga basi itakuwa imeshatwaa ubingwa wa msimu huu kutokana na kasi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Simba SC kunusa ubingwa leo

Simba inaikaribisha Tanzania Prisons leo katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam katika mchezo wa Ligi Kuu Bara.Kikosi hicho kimetoka kupata alama tatu kwenye mechi iliyopita dhidi ya Mbeya City kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMA MOBETO "Huyu Ndiye Mwanaume atakaemuoa Mobeto"

Mama wa mwanamitindo, Hamisa Mobeto, Shufaa Rutiginga amesema katika maisha yake alikuwa anamuombea mtoto wake huyo aolewe na mzungu.Akizungumza na MCL Digital, Shufaa amesema sababu ya kutaka aolewe...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKWASA: Wakati ukifika naondoka

Katibu Mkuu wa klabu ya Yanga, Charles Boniface Mkwasa, ametolea ufafanuzi uwepo wa taarifa zinazoeleza kuwa wadhifa wake umekalia kuti kavu.Mkwasa alisema kuwa hakuna tatizo lolote lililopo ndani ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mrithi wa Lwandamina huyu hapa

Uongozi wa Yanga umemtangaza atakaekaimu nafasi ya kocha mkuu iliyoachwa wazi na George Lwandamina ambaye katikati ya juma hili alirejea kwao na kuijiunga na klabu yake ya zamani ZESCO united.Katibu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Man City bingwa EPL

Katika misimu yake tisa kama kocha katika ligi kuu mbali mbali Pep Gurdiola amechukua ubingwa mara 7 baada ya hii leo kutangazwa rasmi kuwa bingwa wa EPL, mara mbili pekee ambazo Pep amekosa ubingwa ni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dante na Ajib wapo tayari kuiua Simba

Na George MgangaWakati kikosi cha Yanga kikiondoka alfajiri ya leo kuelekea Ethiopia kwa ajili ya mchezo wa Kombe la Shirikisho dhidi ya Wolaita Dicha FC, Ibrahim Ajibu na Andrew Vincent 'Dant, ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BOCCO ASHANGAZWA NA MABAO YAKE 13 SIMBA

MSHAMBULIAJI na nahodha wa Simba, John Bocco, amefunguka kuwa anashangazwa na kasi yake ya kutupia mabao ambayo anayo kwa sasa ikiwa ni baada ya kuanza taratibu mwanzoni mwa msimu huu huku muda mwingi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bocco, Okwi janga la Taifa

Dar es Salaam. Washambuliaji John Bocco, Emmanuel Okwi wameendelea kuvunja rekodi za ufungaji baada ya kuiongoza Simba kuichapa Prisons kwa mabao 2-0 kwenye Uwanja wa taifa, Dar es Salaam.Ushindi huo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Michuano Ya Jumuia ya Madola: Mambo Manne Usiyoyajua kuhusu Jumuia ya Madola

1. karibu theluthi ya watu duniani ni wanachama wa Jumuia ya madola.Takriban watu bilioni 2.4 kati ya bilioni 7.4 wanaishi kwenye nchi wanachama 53 za jumuia ya madola wengi wao wakiwa chini ya miaka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HURUMA: Zari ana hali mbaya sana kwasasa

Ama kila jambo lina nyakati zake, kila jambo lina majira yake! Alitukana, aliwachamba wanawake wenzie waliowahi kumvulia nguo mzazi mwenzie, a.k.a Simba, - The boy from Tandale, nadhani  alipata jeuri...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya TZ leo Jumanne April 17 2018 Udaku, Michezo na Hardnews

Ni asubuhi nyingine tena na habari kubwa kwenye Magazeti ya Tanzania Jumanne 17 Aprili 2018 kuanzia ya, Udaku, Michezo na Hardnews kujionea yote makubwa yaliyoandikwa

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Simba hii haikamatiki aisee!!!

***Yaiacha Yanga pointi 11 nyuma huku Okwi, Bocco wakizidi kutakata Ligi Kuu Bara...MABAO mawili yaliyofungwa na John Bocco na Emmanuel Okwi yameiwezesha Simba kupata ushindi wa magoli 2-0 dhidi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Masoud Djuma awazodoa mashabiki Yanga,Simba

Kocha msaidizi wa Simba Masoud Djuma ametaja vitu ambavyo amevibadilisha kwa muda mfupi tangu amejiunga na klabu hiyo, kocha huyo pia ametaja baadhi ya vitu ambavyo hapendi kwenye soka la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kombe la Dunia 2026 huenda kuchezwa Afrika- Gianni Infantino

Ombi la nchi ya Morocco kuwa taifa mwenyeji wa michuano ya kombe la dunia 2026 imechukua hatua mpya baada ya shirikisho la soka ulimwenguni FIFA kutuma wawakilishi wake nchini Morocco.Wawakilishi hao...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Simon Msuva azidi kung'ara Morocco

Nyota wa kimataifa wa Tanzania, Simon Msuva usiku wa jana ameibuka shujaa wa timu yake ya Difaa Hassan El Jadida, baada ya kufunga mabao mawili ambayo yaliisadia kutoa sare ya 3-3 ugenini katika mchezo...

View Article
Browsing all 699 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>