Quantcast
Channel: SPOTI Starehe™
Browsing all 699 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pointi 55, mabao 55 yaipa Simba SC usukani wa ligi kuu bara

Baada ya ushindi wa jumla ya mabao 3 – 1 dhidi ya Mbeya City, vinara wa ligi kuu Tanzania Bara Simba SC hivi sasa imefikisha jumla ya mabao 55.Mshambuliaji wa Simba SC, Emmanuel Okwi baada ya kupata...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Okwi awa balozi Tulia Marathon Mbeya

 Mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi ameteuliwa kuwa balozi wa Mbeya Tulia Marathon 2018 inayotarajia kufanyika Mei 6, mwaka huu kwenye Uwanja vya Sokoine jijini Mbeya.Mbeya Tulia Marathon inaasisiwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kamusoko atajwa Simba SC

Kocha Mkuu wa klabu ya Simba, Mfaransa, Pierre Lechantre, juzi alihudhuria mechi ya Ligi Kuu Bara kati ya Yanga dhidi ya Singida United.Mfaransa huyo alikuwa jukwaani kuwasoma watani zake kuelekea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nandy afanya maamuzi mazito

Msanii wa muziki wa bongo fleva Nandy ambaye amepatwa na mkasa wa kuvuja kwa video yake ya faragha amefunguka na kusema kuwa kwa sasa ameamua kuacha kufanya kazi ya sanaa kwa muda mpaka atakapokuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pluijm ananukia Azam

Taarifa za chini ya kapeti zinaeleza kuwa uongozi wa klabu ya Azam FC unaweza ukaachana na Kocha wake Mromania, Aristica Cioaba, huku Mholanzi, Hans van der Pluijm akitajwa kurithi mikoba...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Yanga yakutana usiku kumzungumzia Lwandamina majibu haya hapa..

Kamati ya Utendaji ya Yanga, juzi usiku ilikutana haraka kujadili suala kuondoka kwa kocha wao Mzambia, George Lwandamina aliyejiunga na Klabu ya Zesco United ya nchini huko.Taarifa zilizotolewa jana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Njaa yaendelea kuitesa Yanga

WAKATI kikao cha Kamati ya Utendaji cha Yanga kilichofanyika juzi kushindwa kufikia muafaka wa kuteua mrithi wa Kocha, George Lwandamina, viongozi wa klabu hiyo wameshindwa kufikia makubaliano na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Zifahamu nchi za Afrika zinazotekeleza Adhabu ya KIFO

Shirika la kutetea haki za Binadamu ulimwenguni, Amnesty International limesema idadi ya watu waliohukumiwa adhabu ya kifo imepungua mwaka uliopita ukilinganisha na miezi kumi na mbili nyuma.Katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kocha mpya bayern ataeanza kazi july 2018

Uongozi wa Bayern Munich umetangaza kuingia mkataba wa miaka mitatu na KochaEintracht Frankfurt, Niko Kovac.Kovac atakuwa anachukua mikoba ya Jupp Heynckes ambaye alikuwa akiitumikia klabu hiyo kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hatimaye UEFA nusu fainali yawekwa Wazi! Bayern v/s Madrid. Salah amkwepa...

Ratiba hii inamaanisha kwamba Salah amemkwepa Ronaldo katika hatua ya nusu fainali. Swali la kujiuliza ni kwamba: Madrid atachomoa kwa Wajerumani wenye Roho ya Paka??Na: sabby@spoti.co.tz

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Video: Aina mbalimbali za uchezaji muziki barani Afrika (DANCING)

Na: sabby@spoti.co.tz

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya TZ leo April 14 2018 Udaku, Michezo na Hardnews

 Ni asubuhi nyingine tena na habari kubwa kwenye Magazeti ya Tanzania Jumamosi 14 Aprili 2018 kuanzia ya, Udaku, Michezo na Hardnews kujionea yote makubwa yaliyoandikwa

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"Diva" wa Mahali ya Tsh.500Milioni Atundikwa Mimba

Habari za udaku mitaani  zinasema yule mtangazi anaejiamini kuwa ni mzuri kuliko na mwenye shape nzuri kuliko watangazaji wote Africa mashariki na kati Diva "loveness" ambaye ni mtangazaji wa kipindi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mkude: Simba kuipiga Yanga 5 - 0. Kisa Lwandamina.

WAKATI homa ya mchezo wa marudiano wa Ligi Kuu Bara kati ya Simba na Yanga ukianza kupamba moto, kiungo wa Simba, Jonas Mkude amedai kuwa kama Kocha Mkuu wa Yanga, Mzambia, George Lwandamina ameachana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kocha Simba atema cheche

LICHA ya kupata ushindi wa mabao 3-1 katika mechi ya Ligi Kuu Tanzania Bara iliyofanyika juzi dhidi ya Mbeya City, Kocha Mkuu wa timu hiyo, Pierre Lechantre, hakufurahishwa na kiwango kilichoonyeshwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwandila amrithi Lwandamina Yanga

 Baada ya kocha George Lwandamina kutimkia Zesco United ya Zambia hivi karibuni, uongozi wa Yanga jana umemtangaza Noel Mwandila kuwa kocha mkuu hadi mwisho wa msimu.Mbali ya Mwandila makocha wengine...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MPENZI WA BILL NAS AMWAGIA POVU NANDY ' HIYO CHU..P SIYO YA KUVAA...

Mambo bado ni mabaya kwa Nandy baada ya video yake ya uchi kuvuja akiwa na Bill Nass ambapo mpenzi wa Bill Nass amemshukia vikali Nandy kwa kile kilichotokea.Alice ambaye ndiye anadaiwa kuwa katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ADAM SALAMBA MCHEZAJI BORA MWEZI MACHI LIGI KUU YA VODACOM

MSHAMBULIAJI wa Lipuli ya Iringa, Adam Salamba amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa mwezi Machi wa Ligi Kuu ya Vodacom (VPL)Tanzania Bara.Salamba alitwaa tuzo hiyo baada ya kuwashinda wenzake wawili,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Koffi Olomide Aalikwa Tena Kenya

Mwanamuziki wa Dansi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) Koffi Olomide anatarajiwa kutumbuiza kwenye tamasha nchini Kenya hivi karibuni ikiwa ni mara ya kwanza tangu afukuzwe nchini humo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bilnass Amjibu Nandy...Adai Nandy Alianza Toka Jana Kuvujisha Picha na Leo Video

"Jana ilikuwa Siku Yangu Nzuri Ya Kumbukumbu na Siku Ya Kuzaliwa Kwangu,Siku Moja Nyuma alinitafuta Nandy ambae tuliwahi kuwa kwenye Mahusiano Ya Pamoja kwa kipindi, akaniomba nimtumie picha zangu na...

View Article
Browsing all 699 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>