Quantcast
Channel: SPOTI Starehe™
Browsing all 699 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Yanga wapewa mbinu hii kuimaliza Welayta Dicha ya Ethiopia

Kocha mkuu wa klabu ya Zimamoto ya Zanzibar ambaye pia ni mkurugenzi wa ufundi wa chama cha soka Zanzibar (ZFA) adbulan Msoma ametoa ushauri wa bure kwa Yanga kuhusu  wapinzani wao Wolaitta Dicha kabla...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Huyo kamusoko anataka mashabiki tuu

Kiungo wa Yanga thabani kamusoko anataka nguvu ya mashabiki wa timu yao siku ya Jumamosi wakati Yanga itakapokuwa inacheza nyumbani dhidi ya Wolaitta Dicha mchezo wa mtoano kuwania nafasi ya kucheza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Yanga kuwasili Dar leo na dozi ya Waethiopia

Kikosi cha Yanga kinatarajia kuwasili jijini Dar es Salaam leo tayari kwa mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Welayta Dicha FC kutoka Ethiopia.Yanga iliweka kambi mjini Morogoro kufanya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PANCHA: Ngoma aumia tena mazoezini jioni

Mshambuliji wa timu ya Yanga, Donald Ngoma ameumia tena mazoezini na hatokuwa sehemu ya kikosi kitakachocheza kesho na Wolaita Dicha katika mchezo wa kombe la Shirikisho Afrika.Ngoma alisafiri na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Habari kubwa za Magazeti ya TZ leo Jumamosi April 7, 2018 Udaku, Michezo na...

 Ni asubuhi nyingine tena na habari kubwa kwenye Magazeti ya Tanzania Jumamosi April 7, 2018 kuanzia ya, Udaku, Michezo na Hardnews kujionea yote makubwa yaliyoandikwa

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Harmonize Afungukia Kuvunjika Kwa Mahusiano Ya Zari na Diamond

Mwanamuziki wa Bongo fleva kutoka label ya WCB Harmonize kwa mara ya kwanza amefungukia suala la kuvunjika kwa Mahusiano ya Zari na Diamond Platnumz.Miezi miwili iliyopita siku ya wapendanao Zari...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nisingekua hapa bila ya Kanumba- Rose Ndauka

Msanii wa filamu nchini Tanzania, Rose Ndauka amefunguka na kudai bila ya mafundisho na ushauri aliyopewa hapo awali na marehemu Steven Kanumba, muda huu watanzania na watu wengine wasingeweza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kisa Simba Chirwa arejea kwao Zambia

Jumatano wiki hii straika wa Yanga, Obrey Chirwa alienda kwao Zambia kutokana na matatizo ya kifamilia, sasa uongozi wa klabu hiyo umesema mchezaji huyo anarudi muda wowote kuanzia sasa kujiandaa na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kumbe nsajigwa alimfuata chirwa jukwaani

Kocha Msaidizi wa Yanga, Shadrack Nsajigwa, leo alilazimika kukaa jukwaani kukitazama kikosi cha Yanga kikipambana katika mchezo wa Kombe la Shirikisho dhidi ya Wolaitta Dicha FC.Nsajigwa hakuwa na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Habari kubwa za Magazeti ya TZ leo Jumapili April 8, 2018 Udaku, Michezo na...

 Ni asubuhi nyingine tena na habari kubwa kwenye Magazeti ya Tanzania Jumapili  April 8, 2018kuanzia ya, Udaku, Michezo na Hardnews kujionea yote makubwa yaliyoandikwa.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mechi ambayo Juma Abdul hatoisahau na alichosema kabla ya mechi ya leo

Juma Abdul ni miongoni mwa walinzi wa pembeni wa kutumainiwa kwenye kikosi cha Yanga, ni mchezaji mwenye uzoefu ambaye ameshacheza mechi nyingi kubwa za kitaifa na kimataifa akiwa na klabu yake au timu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Yanga yawatafuna wa Ethiopia 2:0 Chirwa akiwa jukwaani

Kikosi cha Yanga kimeanza vema hatua ya mkondo wa kwanza wa Kombe la Shirikisho Afrika kwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Wolaitta Dicha SC kutoka Ethiopia.Mchezo huo uliopigwa katika Uwanja...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sababu iliyomfanya Kamusoko ajifunze kiswahili

Jambo ambalo hutakiwi kufanya ni ‘kumteta’ Thabani Kamusoko kwa lugha ya Kiswahili ukiamini ni raia wa kigeni na hatoelewa unachozungumza, utakuwa umefeli jamaa ni anatwanga kiswahili hadi cha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Onesha ujuzi wako: Bao la CR7 dhidi ya Juventus linaitwaje kitaalamu?

Bao la mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo, lililowafurahisha hata mashabiki wa Juventus, licha ya ukweli kwamba kufungwa kunauma lakini mashabiki hao wa Juventus walisimama na kumpigia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Chelsea yashindwa kutoa zawadi ya pasaka kwa mashabiki wake

Mabingwa wa epl msimu 2017/2018  chelsea fc wameendelea kukumbwa na vipigo mfululizo baada ya kukubali kipigo cha magori 3 kwa moja kutoka  kwa Tottenham Hotspur .mabingwa haw wamekua katika msimu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TCRA Yatoa Hukumu kwa Times Fm Kisa Diamond. Clouds Nayo Yapewa Onyo Kali

KAMATI ya Maudhui ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA),imetoa hukumu kwa vituo viwili vya radio vya Times FM na Clouds FM kwa makosa ya ukiukwaji wa kanuni za utangazaji za mwaka 2018.Taarifa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Simba ‘ikikaza’ kidogo tu safi!

KIRAKA wa Simba, Shomari Kapombe ni miongoni mwa wachezaji wachache waliokuwepo wakati Wekundu hao wakitamba kimataifa kabla ya kupotea na kubatizwa jina la ‘Wamatopeni’.Sasa jamaa ameapa kuwa, kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Huyu Wambura mbishi jamani

KAMA unadhani aliyekuwa Makamu wa Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Michael Wambura, amesalimu amri basi utakuwa umekosea sana aisee. Unaambiwa hivi, Wambura ambaye rufani yake kupinga...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ronaldo afananishwa na mvinyo

Kocha wa Juventus, Massimiliano Allegri amemfananisha Cristiano Ronaldo na kinywaji cha mvinyo akisema kuwa kadiri umri unavyokwenda ndio anazidi kuwa mkali zaidi. Allegri alimkubali Ronaldo baada ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kichuya apewa jukumu hili zito

Baada ya kufanikiwa kuivuruga Singida United juzi, Mtibwa Sugar wamesisitiza kwamba hizo ni salamu tosha kwa Simba na kuwataka wajiandae kisaikolojia. Lakini kocha kijana wa Simba anayekubalika zaidi...

View Article
Browsing all 699 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>