Quantcast
Channel: SPOTI Starehe™
Viewing all articles
Browse latest Browse all 699

Baada ya kambi iringa simba waanza safari kuelekea njombe

$
0
0

Kikosi cha Simba kimeanza safari asubuhi hii kuelekea Njombe tayari kwa mchezo wake wa kesho dhidi ya Njombe Mji FC.

Kikosi hicho kiliweka kambi ya muda mfupi mkoani Iringa ambapo jana kilifanya mazoezi katika Uwanja wa Samora mkoani humo.
Simba itakuwa ina kibarua cha mechi ya ligi dhidi ya Njombe Mji FC itakayopigwa kwenye Uwanja wa Sabasaba mjini humo.

Source: Saleh Jembe

Na: Agape Patrick
Email: agape@spoti.co.tz

Viewing all articles
Browse latest Browse all 699

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>