Ajali hiyo iklitokea asubuhi ya leo eneo la Msamvu, Morogoro baada ya lori ya mafuta kuanguka na wananchi kulikimbilia kuzoa mafuta kabla ya wengine kutaka kuiba betri na kusababisha moto uliowateketeza kila aliyekuwa amebeba dumu la mafuta.
Simba ipo mjini Beira, kuvaana na wenyeji wao UD Songo na mpaka sasa ikiwa inaingia dakika ya 10 matokeo yakiwa 0-0 lakini kabla ya kuanza, Simba walivaa vitembaa vyeusi kuomboleza vifo hivyo.