Quantcast
Channel: SPOTI Starehe™
Browsing all 699 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Yanayojiri - Njombe na Simba:Matukio katika picha

Kotei OutGoli la pili la John BoccoNa: sabby@spoti.co.tz==>>Unaweza Kudownload  APP yetu ya SPOTI << kwa Kubofya Hapa>>

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tetesi za soka barani ulaya leo Jumanne tar 03/04/2018

Kipa wa timu ya Manchester United, David de Gea (27) anatarajiwa kusaini mkataba wa miaka tano inayo na thamani ya paundi £350,000 kila wiki. (Sun)Timu ya Tottenham wanamatumiani kuwa meneja Mauricio...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAVULANA KENYA: wafundishwa kujizuia ubakaji

WakufunziIsaac ni kijana mwenye umri wa miaka 15,ambaye alishuhudia kundi la wanaume wakimkamata kwa nguvu msichana mdogo.Ilikuwa mkesha wa kuamkia mwaka mpya katika mtaa wa Kibera,eneo ambalo lina...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NUKUU USIZOZIJUA ZA WINNIE MANDELA

"Miaka niliyofungwa gerezani ilinifanya kuwa mkakamavu... Huwa sina tena hisia za woga ... Hakuna chochote ambacho naweza kukiogopa. Hakuna kitu ambacho sijatendewa na serikali. Hakuna uchungu ambao...

View Article

VIDEO: Simba ya Al Masry yaishukia Njombe Mji

Dar es Salaam. Mbio za ubingwa zimeshika kasi baada ya kocha wa Simba, Pierre Lechantre kuanza na mfumo na wachezaji wale waliocheza na Al Masry dhidi ya timu Njombe Mji leo saa 10:00 jioni, kwenye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Julio: Kutolewa Yanga, Simba, Azam ni ishara njema kwa soka Tanzania

Dar es Salaam. Nyota wa zamani Yanga na Simba wamesema kuingia kwa nusu fainali ya Kombe la FA timu za Mtibwa Sugar, JKT Tanzania, Singida United na Stand United ni ishara ya mwanzo wa zama mpya za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Njombe Mji Wakubali Kilichotokea Wahamishia Majeshi Kwa Stand United Wenyewe...

Mara baada ya kumalizika kwa mtanange wa ligi kuu Tanzania bara kati ya Njombe mji na Simba sc klabu ya Njombe mji iemsema bado inayonafasi ya kuendelea kusalia kwenye ligi hiyo kwa msimu ujao kutokana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Cannavaro awatuliza Yanga

Nahodha wa Yanga Nadir Haroub ‘Cannavaro’ amewaambia wanachama na wapenzi wa Yanga wasife moyo baada ya timu yao kutolewa na Singida United kwenye mashindano ya Azam Sports Federation Cup.“Tunamsukuru...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Turin sio mahala pazuri kwa madrid juve wanaweza endeleza rekodi yao

Cristiano Ronaldo hii leo anarejea uwanjani baada ya kupewa mapumziko katika mchezo wa Real Madrid vs Las Palmas, huku Juventus watawakosa Miralem Pjanic na Medhi Benatia ambao wanatumikia adhabu,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bocco anguruma njombe

Magoli mawili ya mshambulia John Bocco wa Simba yameipa ushindi timu yake dhidi ya Njombe Mji kwenye mchezo wa ligi kuu Tanzania bara na kufikisha pointi 49 pointi tatu mbele ya Yanga ambayo ipo nafasi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sikukuu ya wajinga yamchanganya etoo mbioni kukimbilia mahakamani

Juzi kulikuwa na habari katika moja ya majarida nchini Cameroon kuhusiana mshambuliaji wa zamani wa timu ya taifa ya Cameroon Samuel Etoo kujiandaa kugombea uraisi wa nchi hiyo mwaka 2018.Jarida...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bushiri ataja sababu ya kupoteza dhidi ya Simba

Kocha mkuu wa timu ya soka ya Njombe Mji Ally Bushiri amewapongeza wachezaji wake kwa kuonesha kandanda safi licha ya kupoteza kwa mabao 2-0 dhidi ya Mnyama Simba Sports Club katika mchezo wa ligi kuu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Alichoandika Edo Kumwembe kuhusu uwanja wa saba saba

Na George Mganga Mwandishi na Mchambuzi wa Soka, Edo Kumwembe, ametoa maoni yake kuhusiana na ubowa wa Uwanja wa Sabasaba ambao una kibarua hivi sasa kati ya Njombe Mji FC dhidi ya Simba SC.Edo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

David Kisu: Taulo halizuii goli

Golikipa wa Njombe Mji David Kissu amejibu maswali mengi ambayo yamekuwa yakiibuka kuhusu taulo lake ambalo hulitumia anapokuwa golini wakati wa mechi mbalimbali.Leo wakati wa mchezo kati ya Njombe Mji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA: Yanga walivofanya mazoezi leo

Na George MgangaLicha ya kutotumika katika mchezo wa Kombe la Shirikisho dhidi ya Singida United Jumapili ya wiki iliyopita, wachezaji Donald Ngoma na Thaban Kamusoko wamefanya mazoezi leo.Kamusoko na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kapombe awa mchezaji bora wa simba

Na George MgangaMchezaji wa klabu ya Simba, Shomari Kapombe, ametangazwa kuwa mchezaji bora wa Simba katika mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Njombe Mji FC, uliochezwa leo katika Uwanja wa Sabasaba...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Habari kubwa za Magazeti ya TZ leo Jumatano April 4 2018 Udaku, Michezo na...

 Ni asubuhi nyingine tena na habari kubwa kwenye Magazeti ya Tanzania Jumatano April 4 2018 kuanzia ya, Udaku, Michezo na Hardnews kujionea yote makubwa yaliyoandikwa

View Article


Juventus v/s Madrid: Angalia hapa magoli yote ya Madrid

Na: sabby@spoti.co.tz==>>Unaweza Kudownload  APP yetu ya SPOTI << kwa Kubofya Hapa>>

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tetesi za Soka Ulaya Jumatano 04.04.2018 Sambaza habari hii Facebook Sambaza...

Haki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionChelsea wanatarajia kumteua kocha wa Juventus, Massimiliano AllegriChelsea wanatarajia kumteua kocha wa Juventus, Massimiliano Allegri, kuwa meneja wa mpya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Juventus 0-3 Real Madrid: Bao la Cristiano Ronaldo lililowafurahisha hata...

Cristiano Ronaldo alifunga mojawapo ya mabao bora zaidi katika Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya kwa bao la kushangaza la 'bicycle-kick' na kuwasaidia Real Madrid kuwalawa Juventus katika mechi ya mkondo wa...

View Article
Browsing all 699 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>